Serena Williams ameendelea kuharibu kwenye mashindano ya tennis baada
ya hapo jana kuondolewa kwenye nusu fainali ya michuano ya US Open na
mchezaji wa Jamhuri ya Czech, Karolina Pliskova.
Kwenye mchezo huo Karolina alifanikiwa kushinda kwa seti 6-2, 7-6 (3)
katika mchezo uliofanyika kwa muda wa saa moja na dakika 26. Kwa sasa
Pliskova atakutana na Kerber kwenye mchezo wa fainali siku ya Jumatatu.
Mapema mwezi Agosti mwaka huu Serena na ndugu yake Venus Williams
walitolewa kwenye raundi ya kwanza ya mchezo wa tennis wa wanawake
wawili wawili kwenye michuano ya Olimpiki.
Serena alikuwa anatarajia kufikisha mataji 23 ya grand slam kwenye
michuano hiyo na kuvunja rekodi ya Steffi Graf ya mataji 22 ambayo
wanafanana kwa sasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment