15 August, 2016

Wenger: Hatukujiandaa inavyostahili

Arsene Wenger
Arsenal haikuwa na mda wa kuwaanda wachezaji wake baada ya michuano ya Euro2016 na hawakuwa na uzoefu katika mechi walioshindwa na Liverpool kwa mabao 4-3 kulingana na mkufunzi Arsene Wenger.

The Gunners walioongoza 1-0,walifungwa mara tatu katika kipindi cha pili na hivyobasi kuwalazimu kuanza ligi ya Uingereza na kipigo.
Baadhi ya wachezaji waliorudi walikuwa hawako tayari,alisema Wenger ambaye alizomwa na mashabiki katika uwanja wa Emorates.
''Tulilazimika kuadhibiwa.Ni hali ambayo lazima uadhibiwe''

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...