Star wa muziki nchini Marekani Lil Wayne ameshambuliwa kwa mara nyingine tena na ugonjwa wa kifafa wiki mbili zilizopita.
Kwa mujibu a TMZ, Lil Wayne na timu yake walishusha ndege mara mbili
ili rapa huyu apate matibabu na jambo jili liliwekwa siri kwa muda huu
wa wiki mbili.
Lil Wayne aliamua kisitisha show zake kwenye club ya TAO mjini Las
Vegas na kwa sasa madaktari wake waangali dose bora zaidi itakayo
msaidia kuwa sawa na kufanya kazi pia. Wayne anaugulia mjini Miami.
12 July, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment