Kutokana na hilo, kazi nyingi zimezidi kuchukuliwa na teknolojia, kazi ambayo ilikua ikifanywa na watu watano basi kazi hiyo itafanywa na mtu mmoja tu!. na hizi ndizo kazi ambazo ziko hatarini kumezwa na technology.
1.Personal Assistants and Secretaries Hivi kuna haja ya kuliongelea hili?
laaa hasha! we kama huku tafadhali jiongeze maana muda sii mrefu utakosa kibarua aisee.
2.Cashiers

3.Computer Operators.

4.Data Entry Clerks

5.Call Receptionists

HIZO NI BAADHI TUU YA KAZI AMBAZO MUDA MFUPI UJAO ZITAMEZWA NA TECHNOLOGY, HIVYO BASI HUNA BUDI KUKUBALINA NA HALI HII NA KUANZA KUKIMBIZANA NA TECHNOLOGY.
No comments:
Post a Comment