Kutokana na hilo, kazi nyingi zimezidi kuchukuliwa na teknolojia, kazi ambayo ilikua ikifanywa na watu watano basi kazi hiyo itafanywa na mtu mmoja tu!. na hizi ndizo kazi ambazo ziko hatarini kumezwa na technology.
1.Personal Assistants and Secretaries Hivi kuna haja ya kuliongelea hili?
laaa hasha! we kama huku tafadhali jiongeze maana muda sii mrefu utakosa kibarua aisee.
2.Cashiers
Kama ulikua umezoea kwenda super-market ama mgahawani na kumtafuta mhudumua kwa ajili ya kulipia manunuzi yako, iko siku hutoweza kuwaona watu hao na badala yake utakutana na mitambo maalumu kwa ajili ya kazi hiyo ambapo utalazimika kuweka bidhaa hizo katika mitambo hiyo kisha ukalipia na kupewa risi na kuondoka nyumbani.3.Computer Operators.
IT imekuwa kubwa mno na nyanja hii tunaitazamia kuleta mapinduzi makubwa mno katika duru mbali mbali mfano Biashara, Afya nk, lakini kwa upande wa pili inaweza ikapia kazi za watu wengine ambao wako katika nyanja hiyo hiyo ya IT hapa namaanisha Computer operators. Itafika pahala kama wewe ni Computer operator hutopigiwa simu kwamba uje urekebishe computer zetu ama uje utusaidie tatizo la computer zetu ama kazi katika computer yetu, Mwenye tatizo ataingia GOOGLE na YOUTUBE kisha ataangalia tutorials kazi imekwisha.4.Data Entry Clerks
Katika biashara, shughuli kampuni mbali mbali na katika uandishi(hasa magazetini na medias kwa jumla), Kutunza kumbukumbu na takwimu ni jambo la Muhimu na lakwaida mno. Wapo watu maalumu kwa ajili ya kazi hiyo ila kutokana na kurahisishwa kwa Technology, watu hao wataanza kukosa kazi hizo maana iko mifumo ambayo imetengenezwa teyari kwa ajili ya kazi hiyo ambayo inafanya kazi hiyo kwa haraka na kwa ufanisi zaidi(automated data entry systems). Kama wewe ni miongoni mwa watu walioko katika kazi hizi tafadhali jiongengeze.5.Call Receptionists
Automated services are fast replacing humans at companies both large and
small – so much so that getting a real live person on the line when you
place a call to a company can come as something of a shock. This trend
shows no sign of slowing down, so if you’re one of these, get on a job
search.HIZO NI BAADHI TUU YA KAZI AMBAZO MUDA MFUPI UJAO ZITAMEZWA NA TECHNOLOGY, HIVYO BASI HUNA BUDI KUKUBALINA NA HALI HII NA KUANZA KUKIMBIZANA NA TECHNOLOGY.

No comments:
Post a Comment