11 July, 2016

Hizi ndizo kazi ambazo muda sii mrefu zitachukuliwa na Teknolojia.

Katika ulimwengu wa leo swala la teknolojia limekuwa likonekana kukua kwa kasi kubwa mno kiasi kwamba kila unapojigusa ama unachogusa ndani yake kuna zao la teknology. Tumeona mengi yatokanayo na teknology mfano mzuri ni kurahisishwa kwa njia za mawasiliano, usafiri nk

  Kutokana na hilo, kazi nyingi zimezidi kuchukuliwa na teknolojia, kazi ambayo ilikua ikifanywa na watu watano basi kazi hiyo itafanywa na mtu mmoja tu!. na hizi ndizo kazi ambazo ziko hatarini kumezwa na technology.

1.Personal Assistants and Secretaries Hivi kuna haja ya kuliongelea hili?
laaa hasha! we kama huku tafadhali jiongeze maana muda sii mrefu utakosa kibarua aisee.

2.CashiersJobs that will soon be taken over by technology Kama ulikua umezoea kwenda super-market ama mgahawani na kumtafuta mhudumua kwa ajili ya kulipia manunuzi yako, iko siku hutoweza kuwaona watu hao na badala yake utakutana na mitambo maalumu kwa ajili ya kazi hiyo ambapo utalazimika kuweka bidhaa hizo katika mitambo hiyo kisha ukalipia na kupewa risi na kuondoka nyumbani.

3.Computer Operators.
 Jobs that will soon be taken over by technology IT imekuwa kubwa mno na nyanja hii tunaitazamia kuleta mapinduzi makubwa mno katika duru mbali mbali mfano Biashara, Afya nk, lakini kwa upande wa pili inaweza ikapia kazi za watu wengine ambao wako katika nyanja hiyo hiyo ya IT hapa namaanisha  Computer operators. Itafika pahala kama wewe ni Computer operator hutopigiwa simu kwamba uje urekebishe computer zetu ama uje utusaidie tatizo la computer zetu ama kazi katika computer yetu, Mwenye tatizo ataingia GOOGLE na YOUTUBE kisha ataangalia tutorials kazi imekwisha.

4.Data Entry ClerksJobs that will soon be taken over by technology Katika biashara, shughuli kampuni mbali mbali na katika uandishi(hasa magazetini na medias kwa jumla), Kutunza kumbukumbu na takwimu ni jambo la Muhimu na lakwaida mno. Wapo watu maalumu kwa ajili ya kazi hiyo ila kutokana na kurahisishwa kwa Technology, watu hao wataanza kukosa kazi hizo maana iko mifumo ambayo imetengenezwa teyari kwa ajili ya kazi hiyo ambayo inafanya kazi hiyo kwa haraka na kwa ufanisi zaidi(automated data entry systems). Kama wewe ni miongoni mwa watu walioko katika kazi hizi tafadhali jiongengeze.

5.Call ReceptionistsJobs that will soon be taken over by technologyAutomated services are fast replacing humans at companies both large and small – so much so that getting a real live person on the line when you place a call to a company can come as something of a shock. This trend shows no sign of slowing down, so if you’re one of these, get on a job search.

HIZO NI BAADHI TUU YA KAZI AMBAZO MUDA MFUPI UJAO ZITAMEZWA NA TECHNOLOGY, HIVYO BASI HUNA BUDI KUKUBALINA NA HALI HII NA KUANZA KUKIMBIZANA NA TECHNOLOGY.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...