09 June, 2016

Bobby Brown asema aliwahi Kufanya mapenzi na "Mzimu" (Video)

Kama tunavyo fahamu kwamba Bobby Brown ni moja kati ya manguli wa muziki wa R&b na pia alikua mume wa Marehemu Whitney Hyuston. Kwa sasa jamaa huyu ana umri wa miaka 47 na hapa ana story yakutushirikishaa. Wakati akihojiwa na mtanazaji Robin Roberts wa 20/20, Bobby alitoa storry ambayo Ilionekana kama Miujiza..... “One time I woke up and… yeah, a ghost. I was being mounted by a ghost,” said Brown. “I wasn’t high.” boby Alisema 

tafadhali Tizama Full inteview hapo chini

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...