13 March, 2016

Video: Magoli ya Barcelona 6 – 0 Getafe

NeymarBarcelona imezidi kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa kombe la Ligi Kuu ya Hispania kwa msimu mwingine baada ya kuibuka na ushindi wa goli sita kwa bila dhidi ya Getafe.
Magoli ya Barca yalifungwa na Victor Rodriguez aliyejifunga dk. 8, Haddadi dk. 19, Neymar dk. 32, 51, Lionel Messi dk. 40, Arda Turan dk. 57.
Baada ya ushindi huo Barcelona imefikisha alama 75 na kuwa mbele kwa alama nane na timu inayoshika nafasi ya pili ya Atletico Madrid. Tazama Vido hiyo hapo chini

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...