Michuano ya klabu bingwa Ulaya itaendelea tena leo kwa michezo miwili kuchezwa ikiwa ni nafasi ya kusaka tiketi ya robo fainali.
Miamba
wa soka wa Hispania Real Madrid, watakuwa nyumbani katika uwanja wao wa
Santiago Bernabeu kuwaalika As Roma, ambapo Real Madrid wanashuka
dimbani wakiwa na faida ya ushindi wa mabao 2-0 walioupata katika mchezo
wa kwanza. Katika dimba la Volkswagen Arena huko Ujerumani VfL
Wolfsburg watakipiga na Kaa Gent kutoka ubelgiji,VfL Wolfsburg wapo
katika nafasi nzuri kutinga Robo Fainali baada ya kushinda Mechi za
Ugenini kwa 3-2. Michezo hii itachezwa saa 4:45 kwa saa za Afrika
mashariki, Fainali ya michuano hii zitafanyika Mei 28 katika dimba la
San Siro huko Milan Itali.
08 March, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment