09 March, 2016

Madrid, Wolfsburg zatinga robo fainali

Cristiano Ronaldo fires in an effort at goal during the first-half as the Portuguese star looked to add to his tally of goals so far this season
Timu za Real Madrid na Vfl Wolfsburg zimekua timu za kwanza kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa ulaya.
Real Madrid wakicheza katika dimba lao la Santiago Bernabeu wameibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya As Roma, mabao ya timu hiyo yakifungwa na Cristiano Ronaldo aliyefunga bao lake la 40 kwa msimu huu, na bao la pili likifungwa na James Rodriguez.


Gent midfielder Sven Kums holds off pressure from Wolfsburg's Ricardo Rodriguez on Tuesday night as his side suffer a 1-0 defeat Nao Wajeruman wa Vfl Wolfsburg wamesonga mbele kwa kuwachapa Kaa Gent kwa bao 1-0 bao lilofungwa na mshambuliaji Andre Schurrle, katika mchezo wa wa kwanza Wolfsburg walishinda kwa mabao 3-2.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...