Ligi kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena umamosi kwa michezo mbalimbali katika viwanja tofauti, Manchester City watakuwa wenyeji wa Leicester, Aston Villa watamenyana na Norwich city, Liverpool watawaalika Sunderland, Newcastle united dhidi ya West Brom, Stoke watakuwa wenyeji wa Everton,Swansea watawakabili Crystal Palace, Watford watakuwa wageni wa Tottenham, na Southampton watakuwa nyumbani dhidi ya West Ham.
05 February, 2016
MICHEZO: Ligi kuu England kuendelea jumamosi
Ligi kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena umamosi kwa michezo mbalimbali katika viwanja tofauti, Manchester City watakuwa wenyeji wa Leicester, Aston Villa watamenyana na Norwich city, Liverpool watawaalika Sunderland, Newcastle united dhidi ya West Brom, Stoke watakuwa wenyeji wa Everton,Swansea watawakabili Crystal Palace, Watford watakuwa wageni wa Tottenham, na Southampton watakuwa nyumbani dhidi ya West Ham.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment