05 February, 2016
MICHEZO: Ligi kuu England kuendelea jumamosi
Ligi kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena umamosi kwa michezo mbalimbali katika viwanja tofauti, Manchester City watakuwa wenyeji wa Leicester, Aston Villa watamenyana na Norwich city, Liverpool watawaalika Sunderland, Newcastle united dhidi ya West Brom, Stoke watakuwa wenyeji wa Everton,Swansea watawakabili Crystal Palace, Watford watakuwa wageni wa Tottenham, na Southampton watakuwa nyumbani dhidi ya West Ham.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment