16 February, 2016
Mcheza Tenisi Rafael Nadal amesema haviogopi Virusi vya Zika
Kabla ya Mashindano ya Rio Open yanayofanyika wiki hii Mcheza Tenisi Rafael Nadal amesema haviogopi Virusi vya Zika. Nadal, 29, amesema “Ninantoka nje usiku. Siogopi. Sina shaka. Ikitokea ni bahati mbaya”
Brazil iko katika kiini cha mlipuko wa sasa wa Virusi vya Zika na tayari Shirika la Afya Dunia limeutangaza ugonjwa huo kama dharura ya Dunia katika upande wa Afya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment