Mahakama ya jinai ya kimataifa -ICC
leo inatarajiwa kutoa uamuzi ambao huenda ukakuwa na athari kwa kesi
inayomkabili naibu rais wa Kenya William Ruto. Bwana Ruto na mushtakiwa
mwenzake, mwana habari Joshua arap sang wameshatkiwa kwa makosa ya
uhalifu dhidi ya binadamu kuhusiana na ghasia zilizotokea nchini Kenya
baada ya uchaguzi mkuu wa 2007.
Mashtaka kama hayo yaliyomkabili
rais Uhuru Kenyatta yalifutiliwa mbali na mwendesha mkuu wa mashataka ya
ICC, Fatou Bensouda kwa ukosefu wa ushahidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment