Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akishiriki kupiga ngoma za utamaduni wakati alipowasili kwenye uwa nja wa ndege wa KIA mkoani Kilimanjaro leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi waliofika kwenye uwanja wa ndege wa KIA mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya kumlaki uwanjani hapo.
No comments:
Post a Comment