Kulikua na chansi ya Wakali hawa wawili kukutana katika battle lakini haikuwahi kufanyika. Kwenye interview ambayo alifanyiwa Barack Obama aliulizwa kuwa nani ataibuka KIDEDEA kati ya wakali hao wawili na Jibu la Haraka alilotoa Barack Obama ni "Kendrick" angeibuka Kinara.Interview hiyo ilifanywa na YouTube star Adande Thorne ambaye alionekana Kushangazwa na Jibu la Rais Obama.
Itazame video hiyo hapo CHINI
No comments:
Post a Comment