Kulikua na chansi ya Wakali hawa wawili kukutana katika battle lakini haikuwahi kufanyika. Kwenye interview ambayo alifanyiwa Barack Obama aliulizwa kuwa nani ataibuka KIDEDEA kati ya wakali hao wawili na Jibu la Haraka alilotoa Barack Obama ni "Kendrick" angeibuka Kinara.
Interview hiyo ilifanywa na YouTube star Adande Thorne ambaye alionekana Kushangazwa na Jibu la Rais Obama.
Itazame video hiyo hapo CHINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment