16 August, 2015

 


Msanii Nuh Mziwanda ambaye usiku wa 14 August 2015 alitamblisha wimbo wake mpya na video ya Hadithi amesema mambo madogo anayofanya kwenye maisha yake hukuswa na kuwa kiki, ila sio mpango wake.

Nuh anasema ” Naweza kukosema kingereza kidogo ila issue ikachukuliwa na kukuzwa na kuwa kubwa, ila situmi skendo kutangaza muziki” .

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...