Msanii wa Bongo Fleva na Filamu, Hemed Suleiman au Hemed Phd amefunguka kuwa atamshirikisha mkali wa masauti Christian bella kwenye Rmx ya track yake “Imebaki story” ambayo inafanya vizuri kwasasa.
Hemed amefunguka kuwa idea ya ngoma hiyo ni kuwa yeye ataimba kikongo na Christian bella ataimba kiswahili. Icheck original video ya hiyo ngoma
No comments:
Post a Comment