17 August, 2015

wizkid
Blogs za Nigeria zimekamata comment ya instagram ya msanii Wiz Kid akimkaribisha rapa Dej Loaf wa Marekani akae karibu yake kwenye shughuli waliyo hudhuria.
Fahamu kuwa WizKid anampenzi wake anayefahamika kama Tania Omotayo na ameonekana kwenye video mpya ya ‘Sade’.
Wiz Kid aliandika kwenye picha ya Dej Loaf “U need to come sit on this ting baby gyal“. Oooh! .
Hakuna ushahidi kuwa Dejloaf aliona comment hio na hata kuja kukaa karibu na Wiz Kid.dej-loaf-wizkid

2 comments:

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...