12 July, 2015

Mkali mwingine aliyesajiliwa na Manchester United huyu hapa…

mateo
Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa kulia wa TorinoMatteo Darmian baada ya kufuzu vipimo vya afya.
Mchezaji huyo  ambaye ameichezea klabu yake mechi 146 na kuifungia mabao matano wakati akiwa na timu hiyo na sasa amekubali Mkataba wa miaka minne Old Trafford.   
Kocha wa Man Luis Van Gaal amefurahishwa na ujio wa mchezaji huyo huku mwenyewe akisema ilikuwa ni ndoto yake kuichezea United.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...