22 July, 2015
BUSUNGU, MWASHIUYA, WAIPA YANGA USHINDI WA KWANZA KAGAME
Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na klabu ya Yanga akitokea
Mgambo JKT ya Tanga, Malimi Busungu, leo amefanikiwa kufunga magoli
mawili kati ya matatu wakati Yanga ikicheza dhidi ya Telecom ya Djibouti
kwenye mchezo wa Kundi A michuano ya Kagame Cup na kuifanya Yanga
kuandika ushindi wa kwanza kwenye michuano hiyo inayozidi kuchukua sura
mpya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment