20 September, 2016

Mourinho: Morali wa Man United umepungua

Mkufunzi wa manchester United Jose Mourinho 
Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho anasema kuwa wachezaji wake wanafaa kujizatiti wakati maamuzi yanapofanywa dhidi yao baada ya kushindwa 3-1 na Watford ,na hivyobasi kupoteza mara tatu mfululizo katika kipindi cha siku nane.

Hatahivyo Mourinho amesema kuwa timu yake ndio iliokuwa bora na ingefaa kujipatia ushindi.

Amesema kwa sasa wanaangazia makosa ya kibinafsi pamoja na yale ya timu yote kwa jumla.

''Bao la pili lilikuwa makosa ya kibinafsi ,lakini hilo tunaweza kulitatua'',Mourinho.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...