20 September, 2016

Kilimanjaro Queens yatwaa ubingwa wa CECAFA 2016

Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Kilimanjaro Queens’ yaifunga Harambe Starlets ya Kenya 2-1 na kutwaa Kombe la Chalenji la CECAFA 2016 huko Jinja, Uganda leo jioni.
14390765_10154543673149339_1241431227057215031_n
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Mwahamisi Omar dk 28, 45, Kenya limefungwa na Christina Nafula.
Tanzania walifika fainali baada ya kuwalaza wenyeji Uganda 4-1 mechi ya nusu fainali.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...