30 August, 2016

Mcheza filamu za vichekesho Gene Wilder afariki

Mcheza filamu Gene Wilder afariki dunia
Mcheza filamu za vichekesho nchini Marekani, Gene Wilder amefariki dunia akiwa na miaka 83.
Wilder amekua akiugua ugonjwa kwa kukosa fahamu{ Alzheimers}.
Aliwahi kucheza filamu maarufu ya , ''Willy Wonka-The Chocolate Factory''.


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...